Wednesday 2 July 2014

ORODHA YA MAJINA AJIRA MPYA (WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII )ZILIZOTOKA I JULY 2014 KUITWA KAZINI WALIOFANYA USAILI JUNE 04-12

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                         
Kumb. Na. EA.7/96/01/G/35
01 Julai, 2014
KUITWA KAZINI

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu
waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 04
hadi 12 Juni, 2014 kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu
usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika
tangazo hili.


Aidha, wanatakiwa kuripoti katika vituo vyao vya kazi
walivyopangiwa katika muda ambao umeainishwa kwenye barua zao za
kupangiwa vituo vya kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals Certificates)
vya masomo kuanzia kidato cha nne na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri
kabla ya kupewa barua ya ajira.
Barua za kuwapangia vituo vya kazi zimetumwa kupitia anuani zao.
Aidha, wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili
watambue kuwa hawakupata nafasi/hawakufaulu usaili, hivyo wasisite
kuomba mara nafasi za kazi zitakapotangazwa tena.BONYEZA HAPA KUANGALIA MAJINA HAYO


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger