Tuesday 14 April 2015

MPYA:"TAARIFA KUTOKA TAMISEMI KUHUSU AJIRA ZA WALIMU WAPYA 2014/2015"

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Huduma za Chakula na Ajira Mpya kwa Walimu 2015.

OWM-TAMISEMI.
Serikali hutoa huduma ya chakula kwa Shule za Sekondari za Bweni na Shule za Msingi Elimu Maalum za Bweni kwa kuzingatia fedha zilizotengwa na upatikanaji wake katika mwaka husika. Fedha za chakula hutolewa kwa awamu na kukamilishwa katika kipindi cha mwaka wa fedha unaotekelezwa. Fedha hizi hupelekwa katika Halmashauri na baadaye watoa huduma hulipwa kwa kuzingatia huduma waliotoa kwa kila shule.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger